Kwa namna ambavyo wabunge wanalalamika wakiwa Bungeni na kupaza sauti zao, kwa hoja zao wanapata umaarufu mkubwa na tunawakubali, ilaa....haitoshi kukomea pale.
Ni wazi kuwa wapo wabunge ambao hata kama hatuwasikii wakitoa maneno buku kidogo "mjengoni Dom" , wana "show intergrity" na "respect" kwa jamii angalau kiasi fulani cha posho na Biz zao
Mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu Tunaweza "proudly talk" kuwa amekuwa mfano wa Kuigwa kwa Kuwa mlezi wa Vituo 10 Vya kulelea Watoto Yatima kwenye Jimbo lake la Temeke, "Big up "Mbunge na Wabunge wote wangekuwa na "swaga" kama zako matatizo yote ya kijamii sanasana yatima, "watoto wanaoitwa wa mitaani" yoote yangekuwa "kwishnei" katika jamii ya waTanga.....ah sorry ya Watanzania.
"Wabunge Rudisheni Mkipatacho kwa Wananchi" Walio na Shida....
.
●
Monday, August 06, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search this blog
Dennis Mwasalanga
- .
- Mbeya, Nothern Highlands, Tanzania
- Follower of Peace and Dignity, compassionate,Committed to communicate to multitudes. I'm in love with being innovative and critical. I'm the Mass Communicator, a graduate in Bachelor of Arts in Mass Communication at Tumaini university Dar es salaam college 2011.
Story Zilizopita
Popular Posts
Followers
Powered by Blogger.



0 comments:
Post a Comment