Songs for Unity but praising Selfishness

 why do we praise Sudan separation?

On Monday 7 when the result of southern Sudan's independence referendum were released it is shocking mmmmmmmmmmh!

How comes nearly 99 percent of voters favored separation from the north?

Africa for Africans, "Time was when the ruining and running of African continent was in the hands of half illiterate politicians, now well endowed and well educated politicians have taken over the task, look how well they are doiong."

These words are from Ken Saro Wiwa in his Literature "African Kills her sun"
and they show how pestimistic critics in Africa are, about our beautiful continent.

I believe things like hizo are among the issues Africans must settle and see how we like seeing ourselves. APART? TOGETHER? What is our value on it.

However we must realize that The north and south Sudan still have to resolve issues involving borders, water, oil revenue and the fate of the oil-producing Abyei region, which lies in the middle of the country.

But how will those things be resolved peacefully? wakati wapo apart?

okey, sawa wakiwa pamoja ilikuwa vita? je wakiwa mbalimbali watafanikiwa?

But if citizens decide justifiably, there is no way to resist citizens decisions...but how do we measure the justification of citizens to decide being apart?

The Situation in Sudan can be compared to Tanzania today, that "vyama vya upinzani" dare not argue, every part needs to be superior..consider CHADEMA and CUF? or other parties and CUF, after CUF siding with CCM in Zanzibar, others argue that CUF needs two Husbands, yaani kuwa CCM na kuwa kambi ya upinzani"

Sawa, tuyaache hayo, turudi Sudani, rais wa Sudan Omar al-Bashir amenukuliwa akisema anayakubali matokeo kwani wananchi ndio waamuzi. Lakini cha kuhoji na kuwa ninini kimewasababishia wananchi kuamua kujitenga? sawa vita, mogogoro, kunyanyaswa na mengineyo lukuki, lakini je utengano ni njia ya ukweli ya kutatua migogoro?....?.....hatuoni kuwa udhaifu wa viongozi wetu inaweza kuwachosha wananchi na kuona kuwa wakitengana ndo suluhisho la matatizo itapatinana?

Ok, tusijetenda dhambi kupigia mayowe wanaopenda kujitenga, lakini vipi nyimbo zetu za Umoja wa waafrika? yes many have to accept the referendum's outcome, which comes officially in July ...lakini sisi tuna a very long way to go...very long way!

But we remember the 2005 peace accord between the mainly Muslim north and the largely Christian south that ended Sudan's 21-year civil war......

Christians and Muslim in the World have different attitudes, but in the end they all praise God, sasa kama Sudan ni ukristo na Uislamu ndo chanzo cha migogoro, na suluhu ni kujitenga, je inamaana kwa wakristo kukaa mbali na waislamu ndo mwisho wa matatizo?.............OH The world is a prison and we never know that it is a prison because we are ignorant alisema Wiwa, and what happens show that yes it is!



...no more to write.......................Africa happenings are boring, why everything bad is associated with sisi? war? corruption? poverty? diseases? oh oh


(makala hii imeandaliwa nami kwa msaada wa mtandao...bbc,dw,voa)

drop your comment chini hapo

0 comments:

Post a Comment