Pweza ni Balaa!!!

Ni vigumu kubaini mojakwamoja Binadamu aliyegundua kula vidudu vya aina mbalimbali akiwemo Pweza ambaye mmhhh  ..em tazama picha hizi halafu weka maneno yako mwenyewe , mi nikikuwekea naogopa kukukera ila hivi vidudu vya ajabu ni veri protenious and veri vitam japo siku hizi vina bei sana daa




pWEZA HUYU HUYU NA utamu wake alitabiri Ushindi wa fainali za Kombe la Dunia zilizopigwa kwenye asili ya JABULANE NA MAVUVUZELA BAFANA BAFANA BONDENI KWA MZEE MADIBA KWA LUCKY DUBEEE SOUTH AFRIKAAAAAAAA HAPO JUMAPILI YA 11 JULAI 2010 KWEnye uwanja wa Soccer City Jijini JohannesburG.

Afrika Kusini waliiibeba vema Afrika kwa kufanikisha fainali hizo za 18 za michuano hiyo tangu ilipoanza mwaka 1930 kule Amerika Kusini,japo kwa bara hili mara nyingi ni wasindikizajiiiii.

Mashabiki hawakumwangusha Rais wa wakati huo wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Fifa, Sepp Blatter ambaye alieleza tangu mwanzo kuwa na imani na uwezo wa bara hilo kuandaa fainali hizo.


sasa PWEZA HUYO WAMPENDAE WATOTO WA DASLAM NA WAGENI, NI KWAMBA yule pweza  aitwaye Paul ambaye alianza kupata umaarufu kwenye nusu fainali baada ya kubainika kuwa alikuwa amebashiri vizuri mechi za Ujerumani, ambayo ilishindwa na Hispania kwa bao 1-0.

vimbwanga vya PWEZA Paul  NI VINGI NA  hata mechi ya JULAI 11,2010 alikuwa amebashiri kwamba Hispania itashinda dhidi ya Uholanzi, ingawa wote walikuwa wakitumia 'Total Football' iliyoasisiwa huko Udachi miaka 40 iliyopitA


Ubashiri huu wa PWEZA Paul ulikuwa ukiipa ushindi Hispania kama nilivyoeleza, NA LIKAWA jibu SAHIHI.

pwezi huyo HUYO aliwafariji Wajerumani kwa kueleza kuwa watashinda na kutwaa nafasi ya tatu dhidi ya Uruguay.


pIA  pweza huyo alikuwa akibashiria mema Ujerumani, isipokuwa kwenye nusu fainali na hata ubashari wake wa mechi ya fainali ulikuwa wa kwanza.


Kwa hiyo, fainali hiyo ilikuwa ya ubashiri baina ya  PWEZA Manny  ambaye aliibashiria ushindi Uholanzi akipingana na  mkongwe PWEZA  Paul.


hIIVI ubashiri WA PWEZA  aliupata wapi? NA PWEZA WA DASLAM NA MAENEO MENGI YA PWANI KAMA TANGA, MTWARA NA KULEE MOMBASA ANAWEZA KUBASHIRI AMA WAJERUMANI NAO WASHIRIKINAAAA.....

 KUNA mwandishi mmoja alisema kama vipi pweza huyo PAUL ANGEKUJA TANZANIA ANGETUSAIDIA KUKAMATA NA KUBASHIRI MAFISADI

ILA Wasiwasi ni kwamba akifika tu atatafunwa na watu wanaopenda pweza tena watamnywa na supu yake ili iwe balaa@@##%^&*&*^&^^%$%>.oh oh sam text missing.

Hapa, ndipo Paul ataweza kutueleza kwa ubashiri wazi kwamba tusubiri pengine miaka mitano au 10 na l

 
daaa PWEZAAA IZ DAA ...hasa ukimchanganya na ile pilipili iliyotengenezwa na watu wenye mikono asiyojulikana walinawa ama hawakunawa ama walienda,,,##$$#$$$@@@@!&**%^$^$ let na ku....ha ha ha  SWITIII WAJEMENI pweza iz so wauh. 

 


2 comments:

  1. kweli pweza ni balaaa sana

    ReplyDelete
  2. Hivi ni kwanini icho kipweza ni kitam sana..inawezekana wachina ndo wavummbuzi wa kadudu hako katam

    ReplyDelete