FIKRA TUNDUIZI

Fikra Tunduizi _...Je ni kweli watanzania wanafanya mema kwa mambo ya kigeni kwa kuwa yanapewa jicho la tatu na wageni ugenini na kukamatwa shati ama kudondokea pua kwa mambo ya kwao?....sikia Hii 'Magazeti ya Kiswahili ya Tanzania yanakosea zaidi katika uwasilishaji wa taarifa kuliko magazeti ya kiingereza yanayofanya vyema sana. .Nanukuu 'Most Kiswahili newspapers were generally sloppy in writing. . .on the other hand English language papers performed wonderfully. (Print Media Monitoring report jan to june 2012) . .usinijibu nashea tu! FYi
Like · ·

0 comments:

Post a Comment