Nchi ya Kuchunguzana na Kuzugana, huku maisha ya watu wakiteketea kwa Umasikini.

iMEKUWA FASHENI UCHUNGUZIII KAMA cHAKULA CHA WATU...
Imekuwa ni daily proverb, Uchunguziii Tumeee, Makalipiooo coz Maadili ya Viongozi Watanzania yameshaliwa na Mchwa"

Hivi wenzetu wanazidi kuleta vumbuzi mbalimbali kila uchao, sisi ni kuchunguzana na kukemeana na kupeana maangalizoo na kusheheni KUDADADEKIII ...Kiukweli Inachosha Kusikia Vijembeee na tuhuma kila uchao.

Ni kwanini Maadili yameporomoka kiasi hicho? Dawa ya viongozi wa Tanzania ni kuwa na sheria ya MUFILISI KWA KILA ATAKAYEKUTWA  UFISADI...SIO Mpaka Tume zinazokula kodi zetu ziundwe kila siku.

Sasa ni nani atakayemchunguza mwenzake? nani atathibitisha Kuwa Fulani ni muhalifu?

Mara UCHUNGUZI kwenye miradi ya TANESCO, RICHMOND, BUNGE,MAHAKAMANI, KAGODA,...SYMBION....VITAMBULISHO, SENSA, MALARIA,UKIMWI......ZOOOTEEEE HIZO NI ...D@##$%%^^& ZA WATUUUU.

ZE KANTRI IZ NIARE KOLAPSINGI.

0 comments:

Post a Comment