Asiyesikia la mkuu huvunjika hata meno ndivyo waweza sema, kwani hilo limemkuta mmiliki wa Gari la kifahari wakati akitaka kuingia katika PANTONI Akitaka kuwahi ndipo akakutwa na haraka haraka isiyo na baraka, baada ya gari lake kuingia maji chumvi kwa sababu ya kutozingatia usalama wa kwenye gati Kigamboni Jijini JULY 30,2012 ASUBUHI.
Kilichomkumba ni kwamba Kivuko Kiliruhusiwa kung'oa na kilishaanza kung'oa gati, yeye akajifanya ana upesi, ndio basi Chabo pics hizi hapa chini:
GARI "LACHUM" BAHARINI , KISA MASIHARA YA DEREVA!!
.
●
Monday, July 30, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search this blog
Dennis Mwasalanga
- .
- Mbeya, Nothern Highlands, Tanzania
- Follower of Peace and Dignity, compassionate,Committed to communicate to multitudes. I'm in love with being innovative and critical. I'm the Mass Communicator, a graduate in Bachelor of Arts in Mass Communication at Tumaini university Dar es salaam college 2011.
Story Zilizopita
Popular Posts
Followers
Powered by Blogger.



Kweli masihara na maji hayafai mazee
ReplyDelete