| Katiba ya Tanzania inachezewa..ndivyo unaweza kusema ukimuona Sungura anapoelezea machungu yake ya jaji kurubuniwa na kupindisha kesi yake |
| Sungura akionesha barua aliyomuandikia Rais Kikwete pamoja na viongozi wengine ili kutaka asaidiwe kufuatilia Upindishwaji sheria katika mahakama kuu ya Tanzania - Moshi mjini |
| Wanahabari wakiwa mkutanoni na FAUSTIN SUNGURA Katika makao makuu ya NCCR MAGEUZI |



0 comments:
Post a Comment